0782 210 747 info@idete.sc.tz Uyui, Tabora-Tanzania

Karibu Shule ya Sekondari Idete

ubora wa elimu unapokutana na fursa.

Maabara za Kisasa

Miundombinu wezeshi kwa masomo ya sayansi na TEHAMA.

Mbinu shirikishi za ujifunzaji

Madarasa yanayotumia mbinu shirikishi kwa mafanikio.

Mazingira Tulivu

Mazingira salama, yanayovutia, na yenye msisimko wa kipekee.

MPYA Tahasusi za Kidato cha Tano 2026
PCM PCB EGM ECsM HGLi HKL
Jiunge nasi Sasa

Sisi ni Nani

Shule ya Sekondari Idete ni shule ya uma iliyopo wilaya ya Uyui, mkoa wa Tabora. Sisi ni kituo bora kabisa cha elimu, na kitovu cha TEHAMA, tuna walimu waliojitolea kufundisha kwa bidii kila mwanafunzi.

Tunajivunia miundombinu ya kisasa na iliyo boreshwa, tuna uhusiano mzuri na jamii inayotuzunguka, na tunajitolea kwa bidii kutoa elimu inayokidhi ubora unaohitajika.

Zaidi ya wanafunzi 2000 Zaidi ya watumishi 50

Matangazo

  • Matokeo ya mtihani wa Taifa kidato cha Sita mwaka 2026 (ACSEE 2026)Angalia Matokeo
  • Uandikishaji Kidato cha TanoTunaendelea kupokea wanafunzi wa kidato cha Tano hadi Julai 31, 2026
Wanafunzi
Ubora Katika Vitendo

Wasiliana Nasi

Mkuu wa Shule: 0782 210 747

Makamu mkuu wa shule: 0767 625 565

Mwalimu wa taaluma: 0763 875 818

Barua pepe: info@idete.sc.tz

Tunapatikana Barabara ya Nzega-Tabora, kando ya Chuo cha VETA cha wilaya ya uyui.

Tunapatikana pia Kilomita 4 kutoka ofisi za halmashauri ya wilaya ya Uyui, kilomita 35 kutoka manispaa ya Tabora.

Viunganishi Muhimu

Flag Counter